Ads 468x60px

SOCIAL FLOATING

Get this

Sunday 6 January 2013

KESHO NI UJIO WA NGOMA MPYA YA ROMA MKATOLIKI IITWAYO "2030"

Baada ya kukaa kimya kwa zaidi ya mwaka bila kutoa ngoma mpya, hatimaye rapper Roma anatarajia kutoa ngoma yake mpya kesho Ijumaa. Ngoma hiyo inaitwa 2030 na kama kawaida yake amezungumza masuala mengi pamoja na kutaja majina ya watu wengi maarufu kwa kuoanisha na matukio. Hit ya mwisho aliyoitoa Roma ni Mathematics.

No comments:

Post a Comment

 
Powered By Blogger

Sample Text

life is all about showing people what you gat

Translate